
Mouja
Ihiiiii
You know the sound
(Sound by Abbah)
Mi na wewe hatutafuti ukamilifu
Mi na we hatupimani madhaifu oouh yee
Mahaba ya kila aina nakupa, siwezi kunyima
Shahada ya kupendana, nakupa
[Pre Chorus]
Penzi nitalilinda, Kwa marungu
Kwa mapanga, Kwa huu wivu
Nitawanga
[Chorus]
Ooh baby, am fitingi
Am fitingi fitingi
Baby baby, we’re machingi
Machingi machingi
Baby, we’re fitingi
Fitingi fitingi
Mimi nawe tume machi
Machingi machingi
Tume machi mchi
Aaah Moujaa, Mh mh mhhh
[Verse 2]
Tukizeeka ukang’oka meno, nitakutafunia mimi
Nitakupenda mpaka mwisho wa hii dunia baby
Huba kama unalijaza katika gunia baby
Vitu naturally napata mia kwa mia mimi oow woo
Sihofii kuonekana fala
Sihofii kuonekana zoba zoba
Sihofii kuonekana mjinga
[Pre Chorus]
Penzi nitalilinda
Kwa marungu
Kwa mapanga
Kwa huu wivu
Nitawanga
[Chorus]
Ooh baby, am fitingi
Am fitingi fitingi
Baby baby, we’re machi
Machingi machingi
You and I we’re fitingi
Fitingi fitingi
Tume machi iyee
Machingi machingi
We’re fitingi
Aaah Mouja
Ai ai kutoka Alooo
Fitingi fitingi
Machingi machingi
#marioo #fitingi #trendingsong